Saturday, August 22, 2015

Toka Kigoma huyu ni mgombea ubunge mwingine wa CCM aliewekewa pingamizi

Mgombea wa CCM Daniel Nsanzugwanko wa jimbo la Kasulu Mjini Awekewa Pingamizi kwa Kigezo cha Umri.Bw.Nsanzugwanko hatakiwi kuwa mgombea Ubunge wa jimbo hilo Kwani fomu yake inaonyesha amezaliwa tarehe 15/08/2015 kwa Kigezo hicho kapoteza Sifa ya kugombea Ubunge,Sheria inasema mgombea Ubunge inatakiwa awe na umri wa miaka 21.Kwani yeye Nsanzugwanko ana siku 6, bado inalifuatilia jambo hili kwa kina kujuwa ukweli wake

No comments:

Post a Comment